Home and Land Tanzania ni kampuni mpya iliyoanzishwa hivi karibuni inayojihusisha na ununuzi, kupangisha na kuuza majengo na ardhi ndani ya Tanzania.
Tuna wigo mpana wa uchaguzi ikiwemo maduka, godown, ofisi, migahawa, mahoteli, biashara, vituo vya mafuta na pia majumba.
 
Nyumba nzuri ilyopo eneo la Magomeni. Inakodishwa tangu mwezi May kwa kodi ya Tsh. Milioni Moja.
Aina ya Jengo

Aina ya Biashara

Chagua Mkoa

Chagua Wilaya


Designed & Maintained by QUEST GROUP